YALIYOMO YAMO BLOG

Habari kila kona

Thursday, 22 January 2015

ASKARI WAWILI WAUAWA KIKATILI NA MAJAMBAZI NA KUPORA SILAHA SABA MKOANI PWANI.

Tunaomba radhi kwa picha hizi

habari hii kwa hisani ya mtandao wa princemedia
Mwili wa askari polisi mwenye Namba E.8732 koplo Edga milinga ukiwa umecharangwa na mapanga na watu wanaosadikiwa kuwa ni majambazi mara baada ya kuvamia kituo cha polisi Ikwiriri usiku wa kuamkia leo.


Mwili wa marehemu Edga Milinga ukiwa umewekwa kwenye gari la polisi.

Mandhari ya kituo cha polisi kilichovamiwa na majambazi usiku wa kuamkia leo.


      Habari zilizotawala katika mitandao ya kijamii na vyombo vya habari ni kwamba mnamo usiku wa kuamkia leo majira ya saa nane za usiku Majambazi wasiojulikana idadi walivamia kituo cha polisi Ikwiriri na kuwauwa askari polisi wawili waliokuwa zamu ambao ni askari mwenye namba E.8732 CPL Edga Milinga na WP 5558 PC Judith Timoth.

     Majambazi hayo yalifanikiwa yalifanikiwa kupora silaha saba 7 ambapo ni SMG 2, SAR 3, Ant Rayot 1, ambazo zote ni mali ya serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania na silaha 1 aina ya Short Gun Protector mali ya kampuni ya sigara Tanzania.

    Majambazi hayo yalifanya uharibifu mkubwa baada ya kulipiga risasi gari la Polisi lenye namba PT 1965 na kulichakaza kabisa...
Posted by Unknown at 02:42
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest

No comments:

Post a Comment

Newer Post Older Post Home
Subscribe to: Post Comments (Atom)

About Me

Unknown
View my complete profile

Popular Posts

  • TAZAMA PICHA ZA TUKIO LA UBUNGO
     HUYU NI MMOJAWAPO WA KADA ALIYESHIKA BANGO KATIKA MKUTANO HUO JINA LAKE HALIKUWEZA KUPATIKANA NA DIWAMI WA KATA MAVURUZA BWANA PASCAL ...
  • AJALI YA KUSIKITISHA YATOKEA HUKO BUNJU 'B', DAR ES SALAAM
    Wasamaria wema wakifunuka mwili marehemu baada ya kutoka kwenye jeneza Wasamalia wema wakimmsaidia mume wa marehemu ambaye yupo ta...
  • WAJUMBE WALIORUDI BUNGENI WA UKAWA SIRI ZAO HIZI HAPA
    Na Karoli Vinsent SIRI ya kusalitiwa kwa Wajumbe wanaunda Umoja wa kutetea Katiba ya Wananchi UKAWA yafichuka mtandao umegundua,Si...
  • MLINZI WA DK SILAA AELEZA UKWELI JUU YA SHTUMA ZAKE
    Mlinzi huyo wakati akizungumza na wanahabari akionyesha majeraha aliyoyapata wakati wa kupokea kipigo hicho Aliyekuwa mlinzi binaf...
  • MWAKYEMBE AFUKUZA 11 UWANJA WA NDEGE LEO
    Waziri wa uchukizi tanzania HARSON MWAKYEMBE akizungumza na wanahabari leo ofisin kwake jijini Dar es salaam              Waziri wa u...
  • RAIS KIKWETE ACHARUKA AWATIMUA KAZI WAKURUGENZI,WAZIRI GHASIA AGOMA KUJIUZULU,ALIVAA GAZETI LA TANZANIA DAIMA SOMA HAPA
    Pichani ni  Waziri  wa Nchi Ofisi ya  Wazir i   Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi)    Hawa Ghasia akizungumza na w...
  • NECTA YATANGAZA MATOKEA,NI IDADI KUBWA YAWANAFUNZI WAFAULU
    Pichani ni Katibu Mkuu wa Baraza la Mitiani nchini NECTA Dkt Charles E Msonde Akizungumza leo na Waandishi wa Habari jijini Dar Es Sa...
  • SOMA HAPA .........................HALI HALISI LA JIMBO LA UBUNGO HII HAPA KWA SIKU YA LEO
    NI WAKATI WA ZIARA YA UKAGUZI WA MAJI NA MIRADI ENDELEVU YA MAJI KATIKA JIMBO LA UBUNGO LIMEZUA HALI YA TAFRANI KWA MBUNGE WA JIMBO HILO MHE...
  • MWIGAMBA;ADUI YANGU SIYO CHADEMA BALI NI CCM
    Na Karoli Vinsent KATIBU mkuu wa chama kipya cha siasa nchini cha   Alliance for Change and Transparence-Tanzania ACT Samsoni Mwigamba ...
  • Unaujua Ugonjwa wa Masundosundo Sehemu za Siri(Genital Warts) soma hapa
      N I vinyama laini vidogo vinavyoota kwenye ngozi au utando laini unaozunguka maeneo ya siri. Vinaweza kutokea kwenye uume, uke, mrija w...

Blog Archive

  • ▼  2015 (32)
    • ►  March (9)
    • ►  February (2)
    • ▼  January (21)
      • WAANGALIZI WA SIRI KUSIMAMIA MECHI ZA MWISHO FDL
      • PANAMA FC,BOOM FC,KUANIKA 18 BORA LIGI YA MKOA WA...
      • FDL KUSIMAMA KUPISHA VIPORO VYA POLISI MARA
      • ROBO FAINALI KOMBE LA TAIFA WANAWAKE KUANZA KESHO
      • 6 ZAFUZU ROBO FAINALI KOMBE LA TAIFA WANAWAKE
      • MAMA MKULIMA ASHINDA MIL. 10/- ZA PROMOSHENI YA JA...
      • ASKARI WAWILI WAUAWA KIKATILI NA MAJAMBAZI NA KUPO...
      • KLABU KUJIGHARAMIA HOTELI MICHUANO YA CAF
      • Aunty Achukizwa na Uamuzi wa King Majuto!
      • WACHEZAJI WAWILI VPL, FDL WAPIGWA FAINI
      • WATANO WAJISHINDIA FEDHA TASLLIMU KUPITIA PROMOSHE...
      • NECTA YATANGAZA MATOKEA,NI IDADI KUBWA YAWANAFUNZI...
      • JISHINDIE PROMOSHENI BILIONI 30 NA VODA KILA SIKU
      • RAIS KIKWETE KATIKA SHEREHE ZA MIAKA 51 YA MAPINDU...
      • TAARIFA MUHIMU KWA WANA CCM WOTE
      • CUF WANENA JUU YA VURUGU UAPISHWAJI WA VIONGOZI SE...
      • WAISLAM WAMTAKA JK KUKAMILISHA MAHAKAMA YA KADHI
      • STARS MABORESHO, RWANDA KUCHEZA MWANZA JAN 22
      • AJALI ZA BARABARANI ZIMEPUNGUA ASEMA KAMANDA MPINGA
      • SOSPETER MUHONGO AFANYA ZIARA YA UKAGUZI WA MIRADI...
      • MKE WA MMILIKI WA HOTELI YA AQ JIJINI ARUSHA AFARI...
  • ►  2014 (145)
    • ►  December (17)
    • ►  November (36)
    • ►  October (13)
    • ►  September (2)
    • ►  August (20)
    • ►  July (15)
    • ►  June (42)
Simple theme. Theme images by luoman. Powered by Blogger.