YALIYOMO YAMO BLOG

Habari kila kona

Wednesday, 25 June 2014

MAKAMU WA RAIS WA CHINA ATEMBELEA SHIRIKA LA RELI LA TANANIA NA AMBIA TAZARA

PIX 1 (2) PIX 2 (2)Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Watu wa China, Mhe. Li Yuanchao (kulia) akiangalia jengo la Makao Makuu ya Ofisi ya Shirika la Reli la Tanzania na Zambia (TAZARA) mara baada ya kuwasili Makao Makuu ya shirika hilo leo jijini Dar es Salaam kwenda kuangalia miundo mbinu ikiwemo mabehewa na injini za treni za shirika hilo.
PIX 4 (2)Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Watu wa China, Mhe. Li Yuanchao (kushoto) akiangalia ramani ambayo reli ya TAZARA inapita kuanzia kituo cha Dar es Salaam wakati alipotembelea Makao Makuu ya Shirika la Reli la Tanzania na Zambia (TAZARA) leo jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kuangalia miundo mbinu ikiwemo mabehewa na injini za treni za shirika hilo. Kulia ni Waziri wa Uchukuzi, Mhe. Harrison Mwakyembe.
PIX 7 (1)Waziri wa Uchukuzi, Mhe. Harrison Mwakyembe akishuka toka ndani ya treni ya abiria ya TAZARA kuelekea katika kituo cha mizigo cha TAZARA kilichopo mtaa wa Yombo jijini Dar es Salaam.
PIX 8 (1)Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Watu wa China, Mhe. Li Yuanchao akishuka toka ndani ya treni ya abiria ya TAZARA kuelekea katika kituo cha mizigo cha TAZARA kilichopo mtaa wa Yombo jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kupatiwa maelezo ya kina kuhusiana na reli hiyo.
PICHA ZOTE NA BENEDICT LIWENGA-MAELEZO.
Posted by Unknown at 09:04
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest

No comments:

Post a Comment

Newer Post Older Post Home
Subscribe to: Post Comments (Atom)

About Me

Unknown
View my complete profile

Popular Posts

  • TAZAMA PICHA ZA TUKIO LA UBUNGO
     HUYU NI MMOJAWAPO WA KADA ALIYESHIKA BANGO KATIKA MKUTANO HUO JINA LAKE HALIKUWEZA KUPATIKANA NA DIWAMI WA KATA MAVURUZA BWANA PASCAL ...
  • AJALI YA KUSIKITISHA YATOKEA HUKO BUNJU 'B', DAR ES SALAAM
    Wasamaria wema wakifunuka mwili marehemu baada ya kutoka kwenye jeneza Wasamalia wema wakimmsaidia mume wa marehemu ambaye yupo ta...
  • WAJUMBE WALIORUDI BUNGENI WA UKAWA SIRI ZAO HIZI HAPA
    Na Karoli Vinsent SIRI ya kusalitiwa kwa Wajumbe wanaunda Umoja wa kutetea Katiba ya Wananchi UKAWA yafichuka mtandao umegundua,Si...
  • MLINZI WA DK SILAA AELEZA UKWELI JUU YA SHTUMA ZAKE
    Mlinzi huyo wakati akizungumza na wanahabari akionyesha majeraha aliyoyapata wakati wa kupokea kipigo hicho Aliyekuwa mlinzi binaf...
  • MWAKYEMBE AFUKUZA 11 UWANJA WA NDEGE LEO
    Waziri wa uchukizi tanzania HARSON MWAKYEMBE akizungumza na wanahabari leo ofisin kwake jijini Dar es salaam              Waziri wa u...
  • RAIS KIKWETE ACHARUKA AWATIMUA KAZI WAKURUGENZI,WAZIRI GHASIA AGOMA KUJIUZULU,ALIVAA GAZETI LA TANZANIA DAIMA SOMA HAPA
    Pichani ni  Waziri  wa Nchi Ofisi ya  Wazir i   Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi)    Hawa Ghasia akizungumza na w...
  • NECTA YATANGAZA MATOKEA,NI IDADI KUBWA YAWANAFUNZI WAFAULU
    Pichani ni Katibu Mkuu wa Baraza la Mitiani nchini NECTA Dkt Charles E Msonde Akizungumza leo na Waandishi wa Habari jijini Dar Es Sa...
  • SOMA HAPA .........................HALI HALISI LA JIMBO LA UBUNGO HII HAPA KWA SIKU YA LEO
    NI WAKATI WA ZIARA YA UKAGUZI WA MAJI NA MIRADI ENDELEVU YA MAJI KATIKA JIMBO LA UBUNGO LIMEZUA HALI YA TAFRANI KWA MBUNGE WA JIMBO HILO MHE...
  • MWIGAMBA;ADUI YANGU SIYO CHADEMA BALI NI CCM
    Na Karoli Vinsent KATIBU mkuu wa chama kipya cha siasa nchini cha   Alliance for Change and Transparence-Tanzania ACT Samsoni Mwigamba ...
  • Unaujua Ugonjwa wa Masundosundo Sehemu za Siri(Genital Warts) soma hapa
      N I vinyama laini vidogo vinavyoota kwenye ngozi au utando laini unaozunguka maeneo ya siri. Vinaweza kutokea kwenye uume, uke, mrija w...

Blog Archive

  • ►  2015 (32)
    • ►  March (9)
    • ►  February (2)
    • ►  January (21)
  • ▼  2014 (145)
    • ►  December (17)
    • ►  November (36)
    • ►  October (13)
    • ►  September (2)
    • ►  August (20)
    • ►  July (15)
    • ▼  June (42)
      • TBS WAWATUNIKIA CHETI CHA UBORA TCRA
      • TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI YAANZA UBORESHAJI WA DAF...
      • MAKAMU WA RAIS WA CHINA ATEMBELEA SHIRIKA LA RELI ...
      • MGOMBEA URAIS WA KLABU YA SIMBA BW. EVANS AVEVA AZ...
      • ZIARA YA MAKAMU WA RAIS WA CHINA HAPA NCHINI
      • HABARI MBALIMBALI ZA KIMICHEZO KUTOKA SHIRIKISHO L...
      • YANGA YAMPATA MARCIO MAXIMO
      • YALIYOTOKEA BUNGENI LEO HII HAPA
      • MASHINDANO YA VIJANA AFRIKA MASHARIKI YAANZA
      • UNAKIFAHAMU KITENDAWILI KATI YA MBASHA NA MKEWE .....
      • SERIKALI YA UJERUMANI AYAHIDI KUTOA MSAADA WA EURO...
      • CHUO KIKUU CHA SOKOINE CHA KILIMO SUA CHATILIANA S...
      • HABARI GANI WATU WANGU WASOMAJI WA BLOG YA YALIYOM...
      • TAARIFA YA JESHI LA POLISI MKOA WA MBEYA KWA VYOMB...
      • WASHINDI WA TMT KUTOKA KANDA YA ZIWA NA NYANDA ZA ...
      • Jumuiya ya wanafunzi wa kiislam NIT wawapigia mago...
      • SIMBA SC FANYENI UCHAGUZI JUNI 29, HANS POPPE AFAN...
      • MWINGINE KIZIMBANI KWA KUMTESA MSICHANA WA KAZI
      • WATOTO ZAIDI YA 800 WALAWITIWA KWA KIPINDI KIFUPI ...
      • TANZANIA DAIMA KIKAANGONI JUU YA MALALAMIKO KUTOKA...
      • HALMASHAURI YA WILAYA YA HAI YAZINDUA KITUO CHA HU...
      • HAKIKISHENI TUNAKUWA NA CHAKULA CHA KUTOSHA DKT. B...
      • UN KUZINDUA MFUMO MPYA WA KUHABARISHA UMMA NDANI Y...
      • SIMBA YAMKAZIA MALINZI, YASEMA UCHAGUZI UKO PALE P...
      • NKUCHIKA;TZ NI NCHI YA PILI AFRIKA YA MASHARIKI KW...
      • FM ACADEMIA YAPIGWA CHINI NA KITOKOLOLO
      • SOMA HAPA............................................
      • MATUMIZI YA CHAJI ZA PUKU NI SALAMA KWA SIMU ZA SM...
      • MAMA KIKWETE AITAKA JAMII KUJENGA TABIA YA KUCHANG...
      • BREAKING NEWZZZZZ;JERRRYSON TEGETA NA KOMBE LA DUN...
      • MALINZI ASIMAMISHA UCHAGUZI SIMBA, KISA KAMATI YA ...
      • MKUTANO WA JUMUIYA YA WANAFUNZI WA VYUO VIKUU VYAF...
      • KUNA MKONO WA MTU KUCHOMWA KWA SOKO LA MCHIKICHINI...
      • UKATILI KWA WATOTO WAENDELEA HAPA NCHINI;Mtoto Afu...
      • PUNGUZO LA P.A.Y.E KWA ASILIA 1 NI DHIHAKA KWA WAF...
      • WAGANGA WA KUTIBU KWA KUTUMIA NGONO NA NGUO ZA NDA...
      • URAGHBISHI WA TGNP WAONYESHA MAFANIKIO MAKUBWA KWA...
      • POLISI WAKAMATA VIPANDE 54 VYA MENO YA TEMBO
      • Picha za Harusi ya Mbunge wa Chadema Joshua Nassar...
      • ZIARA YA WAZIRI MKUU PINDA WILAYANI CHAMWINO DODOMA
      • MAADHIMISHO YA WIKI YA MAZINGIRA YATOA MSISITIZO W...
      • HABARI
Simple theme. Theme images by luoman. Powered by Blogger.